

Lugha Nyingine
[欢乐中国人 第二季]中国女大学生 热血横渡大西洋
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 05, 2024
百度 余额宝设定单日申购额度,能够未雨绸缪地预防其规模过快增长,使其运行更加稳上加稳。
Mkutano wa Kilele wa 2024 wa Beijing wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) unafanyika kuanzia Septemba 4 hadi 6 mjini Beijing. Moja ya kumbi za mkutano huo, Kituo cha Kitaifa cha Mikutano cha China kinatoa Eneo la Uonyeshaji wa Mwingiliano wa Teknolojia na Utamaduni, likiwapa waandishi wa habari, wote wa China na wale wa kigeni, teknolojia changamani na kujionea urithi wa kitamaduni usioshikika. Fuatana na waandishi wa habari wa People's Daily Online na litazame eneo hilo pamoja nao!
(Picha ilichukuliwa kutoka video)
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma