

Lugha Nyingine
导游辱骂未消费旅客相关新闻
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 24, 2025
百度 失眠吃什么药见效快
Mazungumzo Kati ya Staarabu tofauti Miongoni mwa Nchi za Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) 2025 yamefanyika mjini Tianjin, kaskazini mwa China jana Jumatano yakivutia washiriki wapatao 300 kutoka ndani na nje ya China. Shughuli za pembezoni zikiwemo za maonyesho ya maandishi ya Lugha ya Kichina, maonyesho ya sanamu, na maonyesho ya urithi wa utamaduni usioshikika pia zimefanyika kwenye mazungumzo hayo.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma