

Lugha Nyingine
WENCHANG - China imefanikiwa kurusha kundi jipya la satalaiti kwenye obiti ya urefu wa chini kiasi kutoka usawa wa Dunia kutoka eneo la kurushia vyombo vya anga ya juu la Hainan katika mkoa wa kisiwa wa Hainan, kusini mwa China jana Jumatano, ambapo kundi hilo la satalaiti la sita la aina yake ambalo litaunda kundinyota la intaneti, limerushwa majira ya 9:49 alasiri (kwa saa za Beijing) likiwa ndani ya roketi ya kubeba ya Long March-8A.
Kundi hilo la satalaiti limeingia kwa mafanikio kwenye obiti iliyopangwa awali.
Urushaji huo unamaanisha safari ya 586 ya roketi za kubeba za mfululizo wa Long March.
Mandhari ya Kipekee ya Karst katika Mkoa wa Guizhou yavutia watalii
Tamasha la kimataifa la densi lafunguliwa katika Mkoa wa Xinjiang, China likiwa na maonyesho 52
Wakulima wa China wawa na pilikapilika za uzalishaji wa kilimo katika kipindi cha Dashu
Maliasili nyingi za chumvi zaongeza mapato ya wanakijiji katika Wilaya ya Gegye, Xizang, China
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma